a
Za 25:15
Psalms 123:2
2
a
Kama vile macho ya watumwa
yatazamavyo mkono wa bwana wao,
kama vile macho ya mtumishi wa kike
yatazamavyo mkono wa bibi yake,
ndivyo macho yetu yamtazamavyo
Bwana
Mungu wetu,
mpaka atakapotuhurumia.
Copyright information for
SwhNEN